Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/6c/bf/54/6cbf5495-a8ed-d84b-9ebf-d5d3af04e72c/mza_14241915264083627507.jpg/600x600bb.jpg
Biblia Inasema Usiogope
Pastor Msafiri
31 episodes
2 weeks ago
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for Biblia Inasema Usiogope is the property of Pastor Msafiri and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/3201675/3201675-1674169168908-8a87e27a13954.jpg
Watoto Alionipa Bwana
Biblia Inasema Usiogope
15 minutes 29 seconds
2 years ago
Watoto Alionipa Bwana

Katika nyakati hizi tulizopo sio kitu kigeni masikioni kusikia mtoto kabakwa au kanajisiwa, kauawa na dada wa kazi au kaibwa. Yaani kesi ni chungu nzima. Mambo ni magumu kiasi kwamba wazazi wanaishi kwa hofu juu ya watoto wao. Kama wewe ni mzazi na unamwamini Mungu Aliye hai katika Kristo Yesu basi huna haja ya kuogopa kwa sababu ya Jina hili la fahari na lenye kutisha. Watoto hao aliokupa Bwana wanalindwa na Yeye mwenyewe.


Biblia Inasema Usiogope
Mafundisho mbalimbali ya Biblia yaliyobeba ujumbe kwamba USIOGOPE. Namna pekee ya kukua katika imani na kukua katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka woga mbali nasi. Tubaki majasiri tukipiga mbio kuumaliza mwendo tuliowekewa na kuufikia mwisho mwema, tukibarikiwa na kufanyika baraka kwa wengine.