Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
ยฉ 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts125/v4/0e/44/af/0e44af17-fc29-ac16-6ba9-db2bf25c4dca/mza_12684382132760653712.jpg/600x600bb.jpg
Nukta the Podcast
Nukta Habari
71 episodes
2 weeks ago
Nukta Habari inakusogeza na mambo mtambuka yanayokuhusu ikiwemo burudani, mtindo maisha, safari, teknolojia na biashara.
Show more...
Entertainment News
News
RSS
All content for Nukta the Podcast is the property of Nukta Habari and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Nukta Habari inakusogeza na mambo mtambuka yanayokuhusu ikiwemo burudani, mtindo maisha, safari, teknolojia na biashara.
Show more...
Entertainment News
News
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/staging/podcast_uploaded_episode/16079322/16079322-1693580250973-a7be9e4e69662.jpg
JINSI MATAPELI WANAVYOTUMIA TAASISI YA MO FOUNDATION KUIBIA WATU
Nukta the Podcast
7 minutes 29 seconds
2 years ago
JINSI MATAPELI WANAVYOTUMIA TAASISI YA MO FOUNDATION KUIBIA WATU

ย Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao waย Facebookย huenda umewahi kukutana na chapisho linalohusu fursa ya mikopo kutoka kwenye taasisi ya mfanyabiashara bilionea nchini Tanzania Mohamed Dewji Foundation

Sehemu ya chapisho hilo lianasomeka โ€˜๐‰๐ˆ๐๐€๐“๐ˆ๐„ ๐Œ๐Š๐Ž๐๐Ž ๐Š๐”๐“๐Ž๐Š๐€ ๐Œ๐Ž๐‡๐€๐Œ๐„๐ƒ ๐ƒ๐„๐–๐‰๐ˆ ๐…๐Ž๐”๐๐ƒ๐€๐“๐ˆ๐Ž๐ kwa maelekezo ya kupata vigezo na masharti njoo hwatspp kwa no๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ 0748923136โ€™.

Chapisho hilo pamoja na kuhamasisha watu kuomba mikopo wametaja kigezo cha kutoa kwanza kiasi cha hisa ya mkopo unaotaka kupewa kabla ya kupata mkopo wenyewe.

Ufafanuzi zaidi wa taarifa hiyo unaonesha kama unahitaji kukopa Sh100,000 basi utalazimika kutoa kwanza hisa ya Sh22,000 ndipo upewe mkopo huo.

Taarifa hiyo imesambaa katika mtandao wa Facebook kupitia akaunti zenye majina tofauti tofauti toka mwakaย 2022ย  huku ikiwa imeambatanishwa na ย video fupiย inayomnukuu Mohamed Dewji kuwa anatoa mikopo.

Hata hivyo, Habari hiyo haina ukweli wowote kwa kuwa ni habari za uzushi zinazotumiwa na matapeli kuwalaghai wananchi na kujipatia vipato kwa njia zisizo halali.ย 

Nukta Fakti imefanya utafiti ili kubaini ukweli wa akaunti hizo za mtandao wa Facebook na kugundua kuwa akaunti hizo hazina uhusiano wowote na Mohamed Dewji mwenyewe au taasisi yake ya Mohamed Dewji Foundation.

Akaunti sahihi ya Facebook ya mfanyabiashara huyo maarufu nchini niย Mohammed Dewjiย huku ile ya taasisi yake niย Mo Dewji Foundationย na sioย Mikopo Tanzaniaย kama inavyojitambulisha akaunti hiyo inayodai kutoa mikopo.

Mohamed Dewji hatoi mikopo

Utafiti zaidi uliofanywa na Nukta Fakti umebaini kuwa, siย Mohamed Dewjiย mwenyewe walaย taasisi yakeย ambayo inajihusisha na utoaji wa mikopo kwa namna yoyote ile.

Kupitia mtandao waย Linkedin Mohamed Dewjiย amewahi kutoa taarifa kwa umma akifafanua kuwa taasisi yake inajihusisha zaidi kutoa misaada ya kielimu kwa kufadhili masomo, upatikanaji wa maji pamoja na kutatua changamoto katika sekta ya afya.

Nukta the Podcast
Nukta Habari inakusogeza na mambo mtambuka yanayokuhusu ikiwemo burudani, mtindo maisha, safari, teknolojia na biashara.