Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.
All content for PHONECALL PODCAST is the property of Fotty and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.
Fred Kavishe mmoja wa waanzilishi wa TOT BONANZA (Tanzania On Twitter) bonanza kubwa linalowakutanisha watumiaji wa twitter sehemu moja ili kuweza kujuana zaidi na kuenjoy, Kwenye Episode hii tumeongelea mambo mengi sana kuhusu Bonanza hili kuanzishwa kwake,Changamoto na mambo mengi sana. Vilevile tulipiga story na Fred juu ya safari yake ya Kupunguza uzito kutoka kilo 105 mpka kilo 65 ambayo ndo anamaintain sasa ivi. #PHONECALLBYFOTTY
PHONECALL PODCAST
Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.