Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.
All content for PHONECALL PODCAST is the property of Fotty and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.
Geoffrey Lea ndio amehusika kwenye Episode hii ya 2 msimu wa 2 ni mchambuzi na mtangazaji wa michezo kutokea Efm, Kwenye Episode hii tumeongea mambo mengi kuhusu mpira wa miguu lakini vile vile mpira wa kikapu sababu yeye ni mpenzi wa kikapu pia vilevile ukiachana na hayo tuliongea kwa jinsi gani Mama ake (M/Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi) amekua na mchango mkubwa sana katika safari yake hii. Kama wewe ni kijana ambae unajihusisha na jambo lolote lile katika Episode hii utajifunza kutokukata tamaa na kufanikisha lengo ulilokua nalo. #PHONECALLBYFOTTY
PHONECALL PODCAST
Podcast ya dakika 60 ipo based on
twitter ambapo inafanyika
interview kwa njia ya simu ya
mkononi ambapo yanaulizwa
maswali tofauti tofauti kwa
mmoja wa watu ambae
atabahatika kupigiwa simu siku ya Ijumaa. Katika Phone call fotty ataongea na Influencers,wafanyabiashara,wasanii na watu wenye kuleta mabadiliko kwenye jamii.