Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts124/v4/45/59/dc/4559dc3c-a5f6-7dbc-146c-c704552175ec/mza_7868313863777161594.jpg/600x600bb.jpg
SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
119 episodes
2 weeks ago
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako
Show more...
Religion & Spirituality
RSS
All content for SIRI ZA BIBLIA is the property of SIRI ZA BIBLIA and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako
Show more...
Religion & Spirituality
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded_episode/12634477/12634477-1634912039544-f86e4064b6623.jpg
FAIDA TANO ZA MAOMBI YA KUFUNGA: SIRI ZA BIBLIA
SIRI ZA BIBLIA
2 minutes
4 years ago
FAIDA TANO ZA MAOMBI YA KUFUNGA: SIRI ZA BIBLIA


1. Maombi ya kufunga yanaweza kukufanya uongezeke kiimani.
Mathayo 17:21 ‘’ [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga.] ‘’

2. Macho yako ya ndani yatakuwa yanaona vizuri.

Zaburi 119:18 ‘’ Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako. ‘’

. 3. Mwili wako utakuwa umetiishwa.
Wakolosai 3:5 ‘’ Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;‘’

4. Kupokea maana ni ahadi ya MUNGU kujibu maombi yako.

Yeremia 29:13 ‘’Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.'' Tena Biblia inasema ''Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa;-Mathayo 7:7'' na kwa sababu MUNGU analiangalia neno lake alitimize basi hata aliposema tuombe ni hakika atajibu maana yeye hajipingi na Neno lake, labda tu sisi tuombe vibaya na tupungukiwe na imani katika maombi yetu.

5. Utamruhusu ROHO MTAKATIFU kukutumia.

1 Kor 12:11 ‘’ lakini kazi hizi zote huzitenda ROHO huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye. ‘’

SIRI ZA BIBLIA
Maarifa ya ki-Mungu na namna ya kuliishi kusudi lako