
MASOMO YA MISA, MARCHI 29, 2020
DOMINIKA YA 5 YA KWARESIMA
MWANZO:
Zab. 43:1 – 2
Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, uniokoe na mtu wa hila asiye haki. Kwa kuwa wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu.
SOMO 1
Eze. 37:12 – 14
WIMBO WA KATIKATI
Zab. 130 (K) 7
SOMO 2
Rum. 8:8 – 11
SHANGILIO
Yn. 11:25, 26
Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima, asema Bwana; Yeye aniaminiye mimi, hatakufa kabisa hata milele.
INJILI
Yn. 11:1 – 45