Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Society & Culture
Technology
History
Health & Fitness
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/73/0f/12/730f12e7-2819-d7ef-a265-8c01adcd5257/mza_17396847367184726290.jpg/600x600bb.jpg
Jua Haki Zako
RFI Kiswahili
24 episodes
3 days ago

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Show more...
Government
RSS
All content for Jua Haki Zako is the property of RFI Kiswahili and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Show more...
Government
Episodes (20/24)
Jua Haki Zako
Kenya : Ahadi ya serikali kwa jamii za wachache
Kila disemba 18 dunia huadimisha siku ya  Kimataifa ya Jamii za Walio Wachache  siku inayolenga kuzikumbusha serikali na jamii wajibu wa kulinda haki, heshima na ushirikishi wa makundi ambayo kwa miaka mingi yamekuwa yakidai kuachwa nje mipango ya serikali
Show more...
4 days ago
9 minutes 23 seconds

Jua Haki Zako
Mpango wa kidijitali uliokwama unavyowanyima wanafunzi elimu ya kisasa Kenya
Mwaka 2016, Serikali ya Kenya ilizindua Mpango wa Mafunzo kwa Njia ya Kidijitali (DLP), ikiahidi kubadilisha elimu ya msingi ya umma kupitia teknolojia. Awamu ya kwanza ikigharimu walipa kodi zaidi ya Shilingi bilioni 30, huku kukiwa na mpango wa kupanua mradi huo kwa makadirio ya Shilingi bilioni 64. Takribani miaka kumi baadaye, mpango huo unazidi kukabiliwa na matatizo makubwa na hatimaye kukwama hivyo kuwanyima wanafunzi wa shule za msingi haki zao za kupata elimu ya kidijitali.Sikiliza
Show more...
6 days ago
10 minutes 1 second

Jua Haki Zako
Kenya : Haki ya wafanyakazi nje ya nchi
Katika Juhudi za raia wa Africa Kutafuta ajira nje ya nchi wengine wamejipata katika njia panda.
Show more...
1 week ago
9 minutes 30 seconds

Jua Haki Zako
EAC : Haki ya matumizi ya mitandao
Je unafahamu haki zako wakati unatumia mitandao? na Je unafahamu kwamba haustahili kuvuka kiwango fulani wakati unatumia mitandao?
Show more...
3 weeks ago
9 minutes 39 seconds

Jua Haki Zako
Kenya: Msimamo wa wavuvi wa Lamu kuhusu mbinu za kuvua samaki
Kwa muda sasa wavuvi kutoka kaunti ya Lamu, nchini Kenya, wamekuwa wakizozana na serikali kuhusiana na mbinu za kisasa wa uvuvi kutokana na misimo wa serikali kuwataka watumie technolojia katika uvuvi.
Show more...
4 weeks ago
9 minutes 58 seconds

Jua Haki Zako
Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa
Katika maeneo ya wafugaji wa kuhamahama nchini Kenya, mila na desturi bado zinaonekana kupewa kipaumbele kuliko elimu – hali inayowafanya wasichana kuwa katika hatari kubwa ya kukeketwa.
Show more...
1 month ago
9 minutes 56 seconds

Jua Haki Zako
Matumizi ya hadithi kupigania haki
Katika makala haya tunangazia safari ya kutetea haki za binadamu kwa kutumia hadithi sauti moja, uzoefu, na ujasiri wa mtu kusimulia alichopitia.
Show more...
1 month ago
9 minutes 54 seconds

Jua Haki Zako
Mila zanakandamiza wanawake nchini Kenya
Mila na tamaduni kutoka jamii mbalimbali nchini Kenya,  zimezidi kukandamiza wanawake kutoridhi mali.
Show more...
1 month ago
9 minutes 58 seconds

Jua Haki Zako
DRC : Ukatili wa jinsia wakithiri
Skiza makala haya kufahamu mengi
Show more...
2 months ago
9 minutes 24 seconds

Jua Haki Zako
DRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC
Katika makala haya  shaba yetu inalenga nchini DRC hasa eneo la Mashariki, ambapo tunajadili haki za malemavu eneo hilo.
Show more...
2 months ago
9 minutes 57 seconds

Jua Haki Zako
Uganda : Uchaguzi raia wanafahamu haki zao
Uchaguzi nchini Uganda, unatarajiwa kufanyika mwezi  January, Rais Museveni akichuana tena na Hasimu wake wa kisiasa mwanamziki aliyeukia siasa, Bobi Wine.
Show more...
2 months ago
9 minutes 57 seconds

Jua Haki Zako
Kenya/Nigeria : Wanawake wanahangaishwa kwa mitandao
Katika makala haya  tunaangazia suala linalozidi kuwa pasua kichwa—unyanyasaji wa wanawake kwenye mitandao ya kijamii.
Show more...
2 months ago
10 minutes 1 second

Jua Haki Zako
DRC : Unyanyasaji wa haki za watoto
Watoto wanatumika kwa baishara ya ngono
Show more...
2 months ago
9 minutes 50 seconds

Jua Haki Zako
Kenya: Wayu Daba wapokeahati miliki ya shamba
Katika makala haya  tunaangazia hatua ya kihistoria kwa jamii ya wafugaji nchini Kenya. Jamii ya Wayu Daba imekabidhiwa rasmi hati miliki ya ardhi yao kupitia Mpango wa Kusimamia Ardhi Kidigitali, unaoendeshwa na serikali  mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano na Shirika la Chakula na Kilimo, FAO.
Show more...
3 months ago
10 minutes

Jua Haki Zako
Africa : Haki ya waandishi wa vitabu
Katika makala haya  tutajadili haki za mwandishi wa vitabu, Je, mwandishi wa kitabu ana haki gani anapochapisha kitabu chake katika mashirika ya uchapishaji? Ni kipi kinafaa kuzingatiwa katika mchakato wa uchapishaji?
Show more...
3 months ago
10 minutes 17 seconds

Jua Haki Zako
Maandiko matakatifu yapewe nafasi kusuluhisha mizozo
Katika makala haya tunaangazia safari ndefu ya amani katika mataifa yanayopitia migogoro, Shabaha ikiwa ni Sudan Kusini na Somalia.
Show more...
3 months ago
10 minutes 1 second

Jua Haki Zako
Mashambulizi kupitia mitandao ya kijamii
Mitandao ya kijamii na teknolojia za kidijitali zimekuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku. Tunawasiliana, tunajifunza, tunafanya biashara na hata kushiriki mijadala ya kitaifa kupitia mitandao. Lakini pamoja na manufaa haya, kumekuwa pia na changamoto kubwa: mashambulizi ya maneno, udukuzi wa akaunti, na hata ulaghai wa kifedha.
Show more...
3 months ago
9 minutes 56 seconds

Jua Haki Zako
Je mchango wa wanawake ni upi katika juhudi za kupigania haki zao
Wanawake wametuhumiwa kwa kukosa kupigania haki zao, lakini msimamo huu unakanusha na wengi.
Show more...
4 months ago
9 minutes 46 seconds

Jua Haki Zako
Dunia: watoto wanazidi kutumika kama vijakazi
Mwezi wa Juni ulishuhudia matukio mawili muhimu ya kimataifa yakiangazia haki na ustawi wa watoto. Mnamo tarehe 12 Juni, dunia iliadhimisha Siku ya kupinga Ajira ya Watoto, (World Day Against Child Labor) ikirejelea takwimu za kutisha kwamba watoto milioni 160 duniani kote bado wamenaswa katika ajira ya watoto - wengi wakifanya kazi chini ya mazingira hatarishi.
Show more...
4 months ago
10 minutes 3 seconds

Jua Haki Zako
Africa : Mazingira yanavyoathiri haki za watoto
Katika makala haya tunangazia uharibifu wa mazingira unavyoathiri haki za  watoto.
Show more...
4 months ago
9 minutes 53 seconds

Jua Haki Zako

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.