Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts114/v4/33/77/b3/3377b3b7-5a59-147a-a586-3abb04edd01b/mza_4028292745786506046.jpg/600x600bb.jpg
Msasa Media
Msasa Media
66 episodes
1 week ago
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
RSS
All content for Msasa Media is the property of Msasa Media and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded/6893821/6893821-1603556529697-be181a7cc3f9f.jpg
CHINA : NYAMA YA KUKU YAKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA.
Msasa Media
1 minute 31 seconds
5 years ago
CHINA : NYAMA YA KUKU YAKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA.
Sampuli ya vipapatio / mabawa ya kuku yaliyogandishwa, zimegundulika kuwa na virusi vya Corona mjini Shenzhen. Nyama hizo ziliagizwa kutoka nchini Brazil. Baada ya ugunduzi huo, mamlaka za afya ziliwatafuta na kuwapima watu waliokuwa karibu na bidhaa hiyo ambapo majibu yamesema kuwa hawana maambukizi. Aidha eneo ambalo vipande vyenye virusi viliwekwa limepuliziwa dawa na mamlaka inatafuta bidhaa zingine za kampuni hiyo ambayo bado haijawekwa wazi. Hata hivyo shirika la Afya Duniani (WHO) na kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Marekani (CDC) zimewahi kusema uwezekano wa kupata Corona ni mdogo kupitia chakula. Taarifa hiyo ya kupatikana kwa Covid-19 kwenye mabawa ya kuku, imekuja huku siku moja tu nyuma yake nchini Ecuador kulipatiana virusi vya Corona kwenye samaki wadogo wa baharini aina ya uduvi wakiwa kwenye moja kati ya migahawa nchini humo kwaajili ya kuuzwa kwa wateja. Mpaka sasa taifa la China limeripoti kuwa na visa 84,786, huku Brazil ikiwa na nchi ya pili kuwa na maambukizi makubwa ya Covid-19, kwa kuwa na visa Milioni 3.1 na taifa la Marekani likiwa linaongoza kwa kuwa na visa Milioni 5.26
Msasa Media
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.