Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts114/v4/33/77/b3/3377b3b7-5a59-147a-a586-3abb04edd01b/mza_4028292745786506046.jpg/600x600bb.jpg
Msasa Media
Msasa Media
66 episodes
1 week ago
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
RSS
All content for Msasa Media is the property of Msasa Media and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded/6893821/6893821-1603556529697-be181a7cc3f9f.jpg
KENYA: MUDA WA WANANCHI KUTOTOKA NDANI WAONGEZWA KWA SIKU 30.
Msasa Media
1 minute 37 seconds
5 years ago
KENYA: MUDA WA WANANCHI KUTOTOKA NDANI WAONGEZWA KWA SIKU 30.
Katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya Covid-19, Rais Uhuru Kenyatta ameongeza muda wa wananchi kutotoka ndani kuanzia saa 3 usiku hadi saa 10 alfajiri kwa siku 30. Akihutubia Taifa kutoka Ikulu, amesema baa zitaendelea kufungwa kwa siku 30 huku akiagiza Wizara ya Afya kukutana na wamiliki ili kupata muongozo sahihi wa kuzifungua. Aidha, Rais Kenyatta ameongeza idadi ya watu wanaoweza kuhudhuria misiba na harusi kutoka 15 iliyokuwepo awali hadi 100.Migahawa itafungwa saa 2 usiku baada ya saa 1 usiku kuanzia kesho. Pia, Rais amezitaka Wizara za michezo na Afya kuandaa miongozo ya pamoja ili kurejesha shughuli za michezo nchini humo. Kama utakumbuka siku mbili zilizopita ndani ya Taifa hilo kulikuwa na taarifa za madarasa ya shule binafsi kwasasa yanatumiwa kufugia kuku kutokana na shule kufungwa mpaka mwezi Januari, 2021. Kenya imerekodi visa 33,016 na vifo 564 huku idadi ya wagonjwa waliopona ikiwa 19,296.
Msasa Media
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.