Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
All content for Msasa Media is the property of Msasa Media and is served directly from their servers
with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
LINAH : "MIMI NA MORRISON SIO WAPENZI, NI MARAFIKI TU".
Msasa Media
1 minute 39 seconds
5 years ago
LINAH : "MIMI NA MORRISON SIO WAPENZI, NI MARAFIKI TU".
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga (Linah) ameamua kuuvunja ukimya baada ya kusambaa taarifa za kuwepo na mahusiano ya kimapenzi kati yake na mchezaji wa Simba, Benard Morrison.
Ule msemo wa "uongo ukiachwa ukasambaa kwa ukubwa zaidi, huwa unageuka ukweli" umejaribu kupingwa vikali na mrembo huyo na kusema kuwa, Yeye na Benard Morrison Ni washkaj tu na wala hakuna mapenzi yoyote yanayoendelea kati yao kama watu wanavyodhani.
Linah akaongezea kwa kusema, "yeye ni shabiki yake na mimi ni shabiki yake, tulikutana kwenye mazingira fulani ambayo hata mimi sikutegemea kama ningekuwa hapo, kwani alivyoniona alisema ni mwanamuziki anaefatilia kazi zangu tangu muda mrefu sana, na hata alivyoniita nikaingia hiyo sehemu aliyekuwepo alikua anacheza game na washkaj zake,basi tukapiga picha.
Mpenzi wa msasa online kama utakua unakumbuka Msanii Linah mara kadhaa ameshaingia kwenye taarifa za ku'date na watu maarufu, kwa mfano alishawahi kupiga picha za ukaribu na mchekeshaji Idriss Sultan ambapo baadae ikajulikana ilikua ni kutengeneza kiki ya ujio wa wimbo wake wa raha jipe mwenyewe.
Benard Morrison hivi karibuni aliingia vichwa vya habari vya nchini Tanzania, baada ya kushinda shauri lake dhidi ya klabu ya Yanga aliyokua anaichezea hapo awali.
Msasa Media
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.