Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Society & Culture
Business
Sports
TV & Film
Technology
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts114/v4/33/77/b3/3377b3b7-5a59-147a-a586-3abb04edd01b/mza_4028292745786506046.jpg/600x600bb.jpg
Msasa Media
Msasa Media
66 episodes
6 days ago
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
RSS
All content for Msasa Media is the property of Msasa Media and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.
Show more...
Daily News
News
https://d3t3ozftmdmh3i.cloudfront.net/production/podcast_uploaded/6893821/6893821-1603556529697-be181a7cc3f9f.jpg
MCHEZAJI WA VALENCIA "DANI PAJERO" AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUTEMWA NA TIMU YAKE.
Msasa Media
1 minute 34 seconds
5 years ago
MCHEZAJI WA VALENCIA "DANI PAJERO" AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUTEMWA NA TIMU YAKE.
Mchezaji wa muda mrefu ndani ya klabu ya Valencia, Dani Pajero amejikuta akitokwa na machozi baada ya kupigwa chini na klabu yake ya Valencia, na sasa ataichezea klabu ya Villarreal ambao ni wapinzani wa Valencia. Kiungo huyo wa kati wa Uhispania amecheza Valencia mechi 383 tangu mwaka 2008 alipojiunga na klabu hiyo akitokea Getafe, na mwaka 2011 alikaririwa akisema kuwa ndoto yake ni kuja kustaafu klabuni Hapo, lakini kwa bahati mbaya ameshawekwa pembeni. Itakumbukwa Pajero alifanikiwa kuiongoza Valencia Kwenye ubingwa wao wa kwanza tangu 2008, wakati aliposhinda kikombe cha Copa Del Ray msimu wa 2018 / 2019. Vilevile nchini Hispania klabu ya Atletico Madrid imeondolewa kwenye mashindano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kufungwa magoli 2 - 1 dhidi ya RB Leipzig kwenye hatua ya robo fainali na kuifanya klabu hiyo ya Ujerumani kuandika historia ya kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza tangu ilipoanzishwa mwaka 2009. Kocha wa RB Leipzig, Julian Nagelsman nae ameingia kwenye historia ya kuwa kocha wa kwanza mdogo (miaka 33) aliewahi kufika kwenye nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Msasa Media
Msasaonline inaamini kila binadamu ana haki ya kuhabarika kuburudika, na kuelimika hivyo basi kazi yetu kuhakikisha tunakuletea habari sahihi, na kupunguza msongo wa mawazo kwa burudani nzuri na kubadirisha maisha yako kwa kuleta episode zenye mafunzo zaidi. Kwa undani zaidi tembelea web site yetu www.msasaonline.co karibu jisikie huru kuungana nasi.