Home
Categories
EXPLORE
True Crime
Comedy
Business
Sports
Society & Culture
History
Fiction
About Us
Contact Us
Copyright
© 2024 PodJoint
00:00 / 00:00
Sign in

or

Don't have an account?
Sign up
Forgot password
https://is1-ssl.mzstatic.com/image/thumb/Podcasts221/v4/f9/4a/b0/f94ab09c-a802-a022-448f-d6304bbab2d8/mza_17649489430173303793.png/600x600bb.jpg
Mwl. Erick’s Podcast
Christ Embassy Kawe
41 episodes
1 day ago
The word of God for an endless life of victory
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
RSS
All content for Mwl. Erick’s Podcast is the property of Christ Embassy Kawe and is served directly from their servers with no modification, redirects, or rehosting. The podcast is not affiliated with or endorsed by Podjoint in any way.
The word of God for an endless life of victory
Show more...
Christianity
Religion & Spirituality
Episodes (20/41)
Mwl. Erick’s Podcast
UDHIHIRISHO PT.1
Karibu kwenye mafundisho yenye nguvu Udhihirisho Pt. 1.Katika somo hili, tunajifunza maana ya kuenenda katika kweli na jinsi ya kuiishi na kuidhihirisha kweli ya Neno la Mungu katika maisha yetu ya kila siku. Utagundua: Jinsi kweli ya Mungu inavyokuwezesha kuishi maisha ya ushindi Namna ya kudhihirisha kile unachoamini katika ulimwengu wako Jinsi ya kuishi bila mkanganyiko, bali kwa mwanga wa Neno la Mungu Somo hili litakujenga kiroho, litakutia nguvu ya imani, na litakusaidia kuishi kile Mungu amesema kuhusu maisha yako.
Show more...
3 days ago
51 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
KUELEWA UPENDO
Katika mafundisho haya ya Kuelewa Upendo, tunafunua maana ya kweli ya upendo wa Mungu. Upendo huu wa agape unathibitisha thamani yako na msingi wa maisha ya imani. Tutajifunza kwa nini imani hufanya kazi kupitia upendo na kwa nini kuzingatia upendo wa Mungu ni ufunguo wa maisha yanayoshinda. Sikiliza kwa makini ili kuelewa upendo wa milele usiopunguka wala kushindwa.
Show more...
2 weeks ago
53 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
THREE FACTORS FOR A HIGHER LIFE - PT 2
Katika mambo matatu muhimu yatayoleta utofauti kwenye maisha yako ni Ubora wa Fikra zako (How do you use your Mind), Ubora wa Maneno yako (How you use your Mouth), Ubora wa Muda wa Muda wako (How do you use your time). Kwenye sehemu ya pili ya somo hili tunaangalia mambo haya mawili ya Maneno na Muda. Sikiliza na Maisha yako kamwe hayatabaki kama yalivyokua.
Show more...
3 weeks ago
56 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
SUSTAINED BY JOY (KUDUMIZWA KWA FURAHA)
Katika mafundisho haya tunatazama siri ya kudumishwa kwa furaha hata katikati ya changamoto. Furaha ya Bwana si hisia tu, bali ni nguvu inayotuwezesha kustahimili na kushinda. Yesu aliuvumilia msalaba kwa sababu ya furaha iliyowekwa mbele yake, akidharau aibu na maumivu. Vivyo hivyo, maisha yetu yanaweza kudumishwa na furaha kupitia neema ya Mungu na huduma ya Roho Mtakatifu. Sikiliza kwa makini ili ufahamu jinsi furaha ya kiungu inavyokuwa dawa, nguvu, na msaada wa maisha yako.
Show more...
3 weeks ago
1 hour 16 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
3 FACTORS FOR A HIGHER LIFE - PT 1
Katika mafundisho haya tunaelekea kwenye siri ya kuingia maisha ya juu kwa kubadili ubora wa fikra zako.Maisha yako ni tafsiri ya kile kinachoendelea ndani ya akili yako.Mabadiliko ya nje huanza pale unapobadili namna unavyowaza na kufikiri.Akili yako haina kikomo, ina uwezo wa kukuundia maisha unayotamani.Huu ndio mwaliko wa kutumia fikra zako kwa makusudi ili kuinuka kwenye kiwango cha juu.
Show more...
1 month ago
54 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
ABRAHAM’S SEED
Maisha yako lazima yalete IMPACT popote unapoenda. Wewe sio wa Kawaida, kumbuka wewe ni MZAO WA IBRAHIM kila unapoenda UNABADILISHA MAJIRA lazima kuwe na KABLA NA BAADA ya ujio wako na kwasababu wewe ni mzao we Ibrahimu kila uendako utapafanya pawe bora kuliko ulivyopakuta. Kila utayekutana nae atakua bora zaidi BAADA ya kukutana na wewe. You are ABRAHAM’S SEED
Show more...
1 month ago
47 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
TAMBUA MEMA YALIO NDANI YAKO
  “Karibu kwenye somo letu TAMBUA MEMA YALIYO NDANI YAKO.Leo tunazungumza juu ya nguvu ya kutembea katika ufahamu kwamba kuna mema mingi yako ndani yako katika Kristo.Usiendelee kuwa na fahamu za udhaifu wa mwili; amka uone ukweli wa uzuri, uwezo na neema iliyo ndani yako.Ukikiri na kutambua mema hayo, imani yako inakuwa yenye ufanisi—inafanya kazi kwa nguvu isiyo zuilika.Huu ndio ufunguo wa athari kubwa, maisha ya ushindi na matokeo yasiyoweza kuzuilika.”
Show more...
1 month ago
35 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
WEWE NI MKAMILIFU NDANI YAKE
“Leo tunazungumza juu ya ukweli huu—WEWE UMETIMILIKA NDANI YAKE.Katika Kristo hatujaribu kuwa kitu; tunaishi kutoka ukamilifu alioutupa.Si juhudi zetu zinazotufanya, bali kile Kristo alichotufanya tayari.Na alichotufanya ni hiki—UMETIMILIKA, hakuna upungufu, hakuna kilichopotea.
Show more...
1 month ago
31 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
THE BEST IN THE WORLD
Karibu kwenye mafundisho ya “THE BEST IN THE WORLD”, ujumbe unaoamsha ukuu ulio ndani yako. Maana kama maji yanavyoakisi uso, ndivyo moyo wako unavyoakisi maisha yako. Usikubali dunia ikukande katika umbo lake—badilishwa kwa upya wa ufahamu wako katika Neno. Hebu sikiliza… ugundue uhalisi wako mpya: wewe ni bora kuliko wote duniani.
Show more...
1 month ago
35 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
TWO IMPORTANT QUESTIONS
🎙️ Ubora wa maisha yako unategemea ubora wa maswali unayouliza.Wale waliobadili mwelekeo wa maisha walikuwa ni waliouliza maswali sahihi.Katika mafundisho haya, tutasafiri ndani ya Neno la Mungu kuchunguza Maswali Mawili Muhimu…Maswali yanayoweza kubadilisha mwendo wako na hatima ya maisha yako.
Show more...
2 months ago
53 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
THE FEAR OF THE LORD - PT 1
Karibu katika mafundisho haya yenye nguvu kuhusu Hofu ya Bwana — msingi wa hekima na utiifu wa kweli kwa Mungu.Hapa tunajifunza kwamba kumcha Mungu si woga, bali ni heshima ya kina na kujitoa kwa mapenzi Yake.Ni maisha ya ibada yanayoonyesha utii, upendo, na unyenyekevu wa moyo mbele za Mungu.Tambua maana halisi ya ibada — si maneno tu, bali maisha yanayonyenyekea kwa Bwana.Jitayarishe kusikia sauti ya Mungu na kufundishwa namna ya kumheshimu kwa moyo wako wote. 🙏
Show more...
2 months ago
43 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
KRISTO MAISHA YETU - PT 1
“KRISTO MAISHA YETU” 1️⃣ Maisha ya Mkristo siyo tu kuhusu Yesu — ni maisha ya Yesu ndani yetu.2️⃣ Yaliyopita yamepita, maana tulisulubishwa pamoja naye na kufufuliwa kwa upya wa uzima.3️⃣ Leo tunaishi kwa nguvu ya Kristo aliye ndani yetu — ndani yake tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu.4️⃣ Kristo ndiye kusudi letu, raha yetu, na sababu ya kuendelea kuishi.5️⃣ Hii ni safari ya kuelewa kwamba Kristo ndiye maisha yetu yote.
Show more...
2 months ago
1 hour 8 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
UFANISI KWENYE MAOMBI
Maombi yenye matokeo hayategemei hisia, bali kanuni za kiroho.Mungu haguswi na machozi, bali na imani inayotenda kazi kwa Neno lake.Katika mafundisho haya, utagundua nguvu ya Neno la Mungu linaloumba, kuponya na kushinda giza.Utaona jinsi kukaa katika Neno kunavyofungua mlango wa majibu ya maombi.Maisha Yenye Ufanisi wa Maombi — Siri ya kuomba na kuona matokeo!
Show more...
2 months ago
1 hour 6 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
NGUVU YA UCHAGUZI NA MAAMUZI
Maisha yako leo yanaamuliwa na chaguo na maamuzi unayofanya — si mazingira yako, si asili yako.Katika mafundisho haya yenye nguvu, jifunze jinsi ya kusikia na kutenda Neno la Mungu ili kubadilisha hatima yako.Ni wakati wako wa kuinuka, kufanya maamuzi, na kuishi maisha ya thamani ambayo Mungu amekusudia kwako!
Show more...
2 months ago
57 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
A BRANCH OF GOD
You are a branch of God. He is alive in you. As His life pushes up through you, you bear God-fruit.
Show more...
2 months ago
1 hour 1 minute

Mwl. Erick’s Podcast
HABARI NJEMA
Sikiliza habari izi Njema za Injili na maisha yako hayatabaki kama yalivyokua
Show more...
2 months ago
47 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
NEEMA YA MAFANIKIO
Mafanikio ni kazi ya Neema: Jifunze zaidi kwenye somo hili
Show more...
2 months ago
1 hour 36 minutes

Mwl. Erick’s Podcast
VISIONS & DECISIONS - PT 1
Maisha yako yanaamuliwa hasa na maono unayoyaona na maamuzi unayofanya. Mungu hawezi kubadilisha maisha yako mpaka aweze kuathiri maono na maamuzi yako.Jifunze zaidi kwenye somo hili:
Show more...
6 months ago
41 minutes 11 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
CHANGAMOTO ZA MAISHA
 Changamoto ndizo zinazofanya maisha kuwa ya kuvutia na kuzishinda ndiko kunakofanya Maisha kuwa na maana.  Tofauti kati ya watu waliofanikiwa kimaisha na wasiofanikiwa ni uwezo wao wa kukabiliana na changamoto za kimaisha kwa usahihi na sio kukosekana kwa changamoto.Jifunze zaidi kwenye somo hili
Show more...
6 months ago
53 minutes 3 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
AGANO JIPYA PT. 1
Pata uelewa wa Agano ili kuelewa Ukuu na Neema tuliyo nayo katika agano Jipya.
Show more...
6 months ago
34 minutes 35 seconds

Mwl. Erick’s Podcast
The word of God for an endless life of victory